
Maana ya neno "MBUJI" ni "Kitu Kikubwa"
- Baada ya utafiti wa mkoa wa Ruvuma, ndilo jiwe pekee kubwa mkoani humo.
- Lina vyanzo vingi vya maji
- Huwezi kulipanda mpaka uombe kibali kutoka kijijini hapo. Na ukithubutu kulipanda bila ya ruhusa, unaweza ukafa. Na tayari kuna Mzungu mmoja alikuja kwaajili ya utali, akapanda hilo jiwe bila idhini na akakutwa amepoteza maisha.
- Ni vigumu kulizunguka. Unaweza ukazunguka na usifike mwisho, hata kama uliweka alama, hutoikuta.
- Jiwe la Mbuji hutumika kwaajili ya matambiko kwa baadhi ya koo za eneo hilo.
- Kuna watu maalumu wanaotoa maelekezo kwa yeyote anaetaka kulisogelea au kulipanda.
- Ni kivutio kikubwa kwa wageni wanaotembelea vijiji vya Litembo, Maguu, Hagati nk. huko Mbinga, Ruvuma.
- Linaheshimika sana kwa wakazi wanaolizunguka jiwe hilo.
- Sehemu kubwa ya watu wanaoishi karibu na jiwe hilo, hawajawahi kulizunguka wala kulipanda kutokana na hofu.
- Jina la jiwe hilo ndio tarafa ya Mbuji wilayani Mbinga.

The meaning of the word "Mbuji" is "Something Big"
- After research on Ruvuma region, it is the region's biggest stone.
- Has many sources of water.
- You cannot climb till you request permission from the village. And if you dare climb without permission, you can die. And already there is a European who came in favor of tourism, climbed the rock without permission and he was found dead.
- You can hardly circle the rock. Also, you can go around and do not bar the end, even if you leave a mark.
- Mbuji stone is used for rituals in favor of some of the families of the area.
- There are special people who give instructions to anyone who wants to climb the stone.
- It is a major attraction for visitors who visits Litembo, feet, Hagati villages etc. in Mbinga District, Ruvuma, Tanzania.
- The stone is very respected by the people around the area.
- A large proportion of people living near that stone, out of fear, they have neither climbed nor circled the stone.
- Name of the stone is the division of Mbuji, Mbinga District.