Saturday, May 11, 2013

Polisi mkoani Tarime wameua mtoto wa miaka 9, Deo Yakob, katika kilichoripotiwa kuwa pilikapilika za kukamata majambazi.

Mwili wa marehemu Deo Yakob baada ya kupigwa risasi na polisi wilayani Tarime
Bado hakuna maelezo zaidi, kuhusu ni kitu kani kilichopelekea mtoto huyo kuuawa katika juhudi za polisi kukamata majambazi hao. Pia haijafahamika kama polisi hao walikamata majambazo wowote.
Pichani ni wananchi wakiwa na mwili wa mtoto huyo ambaye alikua ni mwanafunzi wa darasa la tatu katika shule ya msingi ya Mturu, mjini Tarime. Habari na picha kutoka: jamiiinformation.blogspot.com

No comments: